Rais wa Kenya, William Ruto amesema Umoja wa Afrika katika muundo wake wa sasa, hauja andaliwa ipaswavyo ili kulisaidia bara la Afrika kufikia uwezo walo kamili wa maendeleo na ustawi.
Rais Ruto alitoa kauli hiyo, katika mkutano ulio kutanisha viongozi wa idara mbali mbali za ujasusi kutoka barani Afrika.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






