Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wiki hii Afrika: Rais Ruto ataka mageuzi katika muundo wa Muungano wa Afrika ili ifikie uwezo wayo kamili

Afrika kwenye ramani ya dunia.png

Rais wa Kenya, William Ruto amesema Umoja wa Afrika katika muundo wake wa sasa, hauja andaliwa ipaswavyo ili kulisaidia bara la Afrika kufikia uwezo walo kamili wa maendeleo na ustawi.


Rais Ruto alitoa kauli hiyo, katika mkutano ulio kutanisha viongozi wa idara mbali mbali za ujasusi kutoka barani Afrika.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now