Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wiki Hii barani Afrika:Papa Leo aomba mamlaka ya Angola kumaliza ubaguzi ambao ume endelea kusumbua nchi hiyo

Pope Leo XIV

epa12475771 Pope Leo XIV holds an audience with participants of the Fifth World Meeting of Popular Movements in the Paul VI Hall, Vatican City, 23 October 2025. Source: ANSA / MAURIZIO BRAMBATTI/EPA/AAP Image

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Leo XIV, amekemea vitendo vya rushwa na kuzitaka mamlaka za Angola kumaliza ubaguzi ambao ume endelea kusumbua nchi hiyo tangu kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa mwenyewe 2002.


Papa Leo XIV alitoa kauli hiyo alipo ongoza misa, mbele ya takriban waumini zaidi ya laki moja kwenye mji wa Kilamba.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now