Hemeti alikutana na Rais Yoweri Museveni katika Ikulu ya Entebbe Ijumaa. Uongozi wa Sudan umeyakosoa mapokezi aliyopewa na rais wa Uganda na kuyaita "dharau kwa ubinadamu".
Hemeti siku ya Ijumaa alikutana na Rais wa Uganda Yoweri Museveni katika Ikulu ya Entebbe, siku moja baada ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kugundua kuwa vikosi vyake vilifanya vitendo vya mauaji ya halaiki huko Darfur.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





