Yaliyo jiri Afrika: Wakenya waanza kuwatafuta jamaa wao walio ajiriwa na jeshi la Urusi

Ukraine's army reserves

Dozens of civilians have been joining Ukraine's army reserves in recent weeks amid fears about Russian invasion. (AAP Images/ AP Photo/Efrem Lukatsky) Source: AP

Takriban idadi yawa Kenya 1,000 wameajiriwa kupigania Urusi, kulingana na ripoti ya ujasusi ya Kenya inayoelezea mtandao wa maafisa wahalifu wanaodaiwa kushirikiana na makundi ya biashara haramu ya binadamu.


Ripoti hiyo, iliyowasilishwa bungeni siku ya Jumatano na Idara ya Ujasusi ya Kenya (NIS), inasema Wakenya 89 walikuwa mstari wa mbele katika vita kati ya Urusi na Ukraine kufikia mwezi Februari mwaka huu.

Angalau Mkenya mmoja amefariki, huku wengine kadhaa wakirejea nyumbani wakiwa wamejeruhiwa au wamepatwa na mshtuko, ripoti hiyo inaongezwa.

Wakati huo huo, baadhi ya familia zime anza kuwatafuta jamaa wao wanao dhaniwa wame ajiriwa kupigania Urusi.

Bonyeza hapo juu, kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now