Ripoti hiyo, iliyowasilishwa bungeni siku ya Jumatano na Idara ya Ujasusi ya Kenya (NIS), inasema Wakenya 89 walikuwa mstari wa mbele katika vita kati ya Urusi na Ukraine kufikia mwezi Februari mwaka huu.
Angalau Mkenya mmoja amefariki, huku wengine kadhaa wakirejea nyumbani wakiwa wamejeruhiwa au wamepatwa na mshtuko, ripoti hiyo inaongezwa.
Wakati huo huo, baadhi ya familia zime anza kuwatafuta jamaa wao wanao dhaniwa wame ajiriwa kupigania Urusi.
Bonyeza hapo juu, kwa taarifa kamili.






