Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yaliyojiri Afrika: 45 wafariki katika mafuriko mjini Nairobi

Kenya Floods

People climb on top of their cars after heavy rains flooded roads in Nairobi, Kenya, on Friday, March 6, 2026 Source: AP / Andrew Kasuku/AP/AAP Image

Nchini kenya idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa wiki iliopita, imeongezeka kutoka 23 na sasa idadi hiyo imefikia watu 45, kwa mujibu wa taarifa ya polisi nchini humo.


Mbali na idadi ya vifo kuongezeka, idara ya polisi nchini humo imesema waru wapatao 2224 pia walilazimika kuyahama makazi yao, bila hata hivyo kutoa maelezo zaidi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now