People climb on top of their cars after heavy rains flooded roads in Nairobi, Kenya, on Friday, March 6, 2026 Source: AP / Andrew Kasuku/AP/AAP Image
Nchini kenya idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa wiki iliopita, imeongezeka kutoka 23 na sasa idadi hiyo imefikia watu 45, kwa mujibu wa taarifa ya polisi nchini humo.
Nchini kenya idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa wiki iliopita, imeongezeka kutoka 23 na sasa idadi hiyo imefikia watu 45, kwa mujibu wa taarifa ya polisi nchini humo.
Mbali na idadi ya vifo kuongezeka, idara ya polisi nchini humo imesema waru wapatao 2224 pia walilazimika kuyahama makazi yao, bila hata hivyo kutoa maelezo zaidi.