FILE - Tanzania's Vice President Emmanuel Nchimbi delivers his speech during a campaign rally in Dodoma, Tanzania, Saturday, Sept. 27, 2025. Source: AP / AP Photo/AAP Image
Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM umemvua uanachama Emmanuel Nchimbi na kumpitisha Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, kujaza nafasi ya Makamu wa Rais.
Jummanne, Nchimbi alitangaza kujiuzulu kwake kutaanza rasmi Septemba 4. Alisema amefikia uamuzi huo baada ya kujiridhisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatamani kuwa na mabadiliko katika nafasi hiyo.