Mmoja wa matajiri wakubwa barani Afrika Aliko Dangote, ameonesha nia yakuanzisha kiwanda chaku safisha mafuta nchini Kenya.
Hatua hiyo itakuwa jeki kubwa kwa uchumi wa taifa hilo la Afrika Mashariki na majirani wake.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






