Shirika la Afya Duniani, WHO, limesema zaidi ya watu 900 wanashukiwa kuwa wameambukizwa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Wakati huo huo Wizara ya Afya ya Uganda imesema wahudumu wawili wa afya katika hospitali binafsi jijini Kampala wamekutwa na maambukizi baada ya kuhusika katika matibabu ya mgonjwa kutoka Kongo aliyefariki mwezi uliopita.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





