Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetahadharisha umma kuhusu kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa Ebola.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Hatua hii imejiri baada ya takriban watu 30 kufariki, tangu mwanzo wa mwezi Mei katika kambi ya Kigonze huko Bunia, kitovu cha mlipuko huo. Hata hivyo, mamlaka zimeeleza kuwa idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola huko Kongo imeongezeka hadi kufikia 933, ikiwa ni pamoja na vifo 245.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






