Marais wa Kenya na Uganda walikutana mjini Kisumu, kuzindua ujenzi uliocheleweshwa wa upanuzi wa reli yenye thamani ya mabilioni ya dola iliyojengwa na China.
Akizungumza katika mkutano huo, Rais wa Kenya William Ruto alisema reli hiyo itakuwa na umuhimu kwa kizazi cha sasa na vijavyo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





