Maswala nane yalipendekezwa katika mazungumzo ya mwisho ya pande husika, ila ni maswala mawili tu yaliyo kubaliwa na serikali ya DRC yakiwemo, kusitisha mapigano na kubadilishana wafungwa.
Hata hivyo uongozi wa M23 una endelea kusisitiza marekebisho ya katiba yatakayo tambua mamlaka ya kundi hilo pamoja na uhuru wa majimbo ya Kivu kujiongoza.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.








