Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yaliyojiri Afrika: Muungano wa Afrika walaani vita dhidi ya iran, waomba vistishwe maramoja

The Map of Africa

Credit: Wikipedia

Viongozi kadhaa wa bara la Afrika wameungana na Muungano wa Afrika kulaani vita vinavyo endelezwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran.


Viongozi hao wame onywa kwamba, kuenea kwa mzozo huo, kuna hatarisha amani, usalama na uchumi wa Afrika.

Muungano wa Afrika umetaka vita hivyo visitishwe mara moja.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now