Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yaliyojiri Afrika: Seriklai ya DRC kufungua vituo vitatu vya matibabu ya virusi vya Ebola

A WHO worker gives an Ebola vaccination to a front line aid worker who will then go to vaccinate locals.

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema Jumatatu itafungua vituo vitatu vya matibabu, kwa ajili ya watu walioambukizwa virusi vya Ebola katika jimbo la Ituri.


Published

By Jason Nyakundi

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema Jumatatu itafungua vituo vitatu vya matibabu, kwa ajili ya watu walioambukizwa virusi vya Ebola katika jimbo la Ituri.


Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa mlipuko huo ni dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa na limetuma pia timu ya wataalamu na vifaa ili kusaidia kupambana na kuenea kwa aina hii ya virusi inayofahamika kama "Bundibugyo" ambayo haina tiba wala chanjo zilizoidhinishwa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now