Upinzani dhidi ya mpango waku ruhusu kampuni za Marekani kupata madini muhimu nchini Jamhuri yakidemokrasia ya Congo, una ongezeka baada ya Rais Tshisekedi kurejea nchini kutoka mkutano wa madini ulio fanyika Marekani wiki iliyopita.
Rais Tshisekedi, ali ahidi kufungua milango kwa kampuni za marekani, kuwekeza katika madini ya mashariki mwa Congo ambayo hayaja chimbwa kikamilifu, na yana kadiriwa kuwa na thamani ya dola trilioni ishirini na nne.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





