Yaliyojiri Afrika: Upinzani dhidi ya kampuni za USA kupata madini ya DRC waongezeka

The Map of Africa

Credit: Wikipedia

Upinzani dhidi ya mpango waku ruhusu kampuni za Marekani kupata madini muhimu nchini Jamhuri yakidemokrasia ya Congo, una ongezeka baada ya Rais Tshisekedi kurejea nchini kutoka mkutano wa madini ulio fanyika Marekani wiki iliyopita.


Rais Tshisekedi, ali ahidi kufungua milango kwa kampuni za marekani, kuwekeza katika madini ya mashariki mwa Congo ambayo hayaja chimbwa kikamilifu, na yana kadiriwa kuwa na thamani ya dola trilioni ishirini na nne.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now