Shirika lakutetea hazi za binadam la Amnesty International, limevishtumu vikosi vya usalama vya Uganda kwa kuwauwa raia, kuwakamata kiholela na kuwatesa wafuasi wa upinzani katika kipindi chaku elekea na baada ya uchaguzi mkuu nchini humo.
Amnesty International imesema ilinakili matukio 10 ya matumizi ya nguvu kukabili upinzani katika wilaya kadhaa nchini humo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






