Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yaliyojiri Afrika:Vikosi vya ulinzi vya Uganda vya shtumiwa kwa kuwauwa raia na kuwatesa wafuasi wa upinzani

Afrika kwenye ramani ya dunia.png

Shirika lakutetea hazi za binadam la Amnesty International, limevishtumu vikosi vya usalama vya Uganda kwa kuwauwa raia, kuwakamata kiholela na kuwatesa wafuasi wa upinzani katika kipindi chaku elekea na baada ya uchaguzi mkuu nchini humo.


Amnesty International imesema ilinakili matukio 10 ya matumizi ya nguvu kukabili upinzani katika wilaya kadhaa nchini humo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now