Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yaliyojiri Afrika: Viongozi wa Tanzania na Rwanda kuimarisha ushirikiano wa kikanda

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame Ikulu ya Dar es Salaam

Viongozi wa Tanzania na Rwanda wamekubaliana kuchukua jukumu la kuhakikisha ushirikiano ndani ya Jumuiya ya afrika mashariki unaimarika kwa ajili ya manufaa ya kanda hiyo na watu wake.


Katika mazungumzo ya viongozi hao wawili, Rais Samia Suluhu Hassan alihimiza haja ya kuongeza kasi ya kuondoa vikwazo ili kukuza soko la pamoja kwa nchi za Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now