Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Yaliyojiri Afrika: Wanafunzi 16 waangamia kwenye mkasa wa moto shuleni Kenya

Fire aftermath at Utumishi Girls Academy

The bodies of the victims of a overnight fire at Utumishi Girls Academy are moved outside the building in Nakuru, 120 kilometres northwest of Nairobi, Kenya, 28 May 2026. Source: EPA / STRINGER/EPA

Wanafunzi 16 wamekufa katika mkasa wa moto, uliotokea katika mabweni ya shule moja ya wasichana katika Kaunti ya Nakuru nchini Kenya.


Published

By Jason Nyakundi

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wanafunzi 16 wamekufa katika mkasa wa moto, uliotokea katika mabweni ya shule moja ya wasichana katika Kaunti ya Nakuru nchini Kenya.


Hilo ni tukio la hivi karibuni la aina hiyo kulitikisa taifa hilo la Afrika Mashariki. Waziri wa Elimu Julius Migos Ogamba, amesema wanafunzi wengine 79 walijeruhiwa katika mkasa huo wa Shule ya Wasichana ya Utumishi, ambayo ina zaidi ya wanafunzi 800 katika eneo la Gilgil katikati mwa Kenya. Chanzo bado hakijabainika. Ogamba amesema mamlaka zitachunguza kama mwongozo wa usalama wa moto shuleni ulifuatwa.

Serikali ya Uganda imeamuru kufungwa kwa mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia ongezeko la visa vinavyoshukiwa kuwa vya aina mpya ya virusi vya Ebola.

Uamuzi huo umechukuliwa kufuatia taarifa kwamba wahudumu wa afya wa Uganda wameambukizwa virusi hivyo kutoka kwa wagonjwa waliotoka upande wa Kongo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now