Yaliyojiri Afrika:Watanzania bado wanakabiliwa na athari za baada ya uchaguzi wa hivi karibuni

Credit: Wikipedia
Watanzania bado wanakabiliwa na athari za baada ya uchaguzi wa hivi karibuni, huku wanahabari wakizuiwa kuripoti usimulizi mbele ya tume ya uchunguzi. Makubaliano kati ya Congo na Marekani kuhusu madini yana dosari kubwa.
Share




