Mwaka huu umekuwa mgumu sana kwa msanii A.T.M Jeff kutoka Perth, Magharibi Australia.
Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, A.T.M Jeff aliweka wazi masaibu yanayo mkabili, nakupunguza kasi yakukuwa kwake kimziki.
Bofya hapo juu kwa makala kamili.
Share






