SKIP TO MAIN CONTENT

Makala Leo:Serikali kuwekeza mamilioni katika nyumba za waathiriwa wa unyanyasaji wa majumbani; lakini je, inatosha?

The Australian Government dumps controversial domestic violence superannuation policy
Source: Getty / Getty Images/Kittisak Jirasittichai/EyeEm

Mgogoro wa makazi ukiendelea, vurugu za kifamilia na majumbani (DFSV) ndio sababu kuu ya wanawake na watoto kuondoka nyumbani kwao na kukosa makazi.


Published

By Tee Mitchell

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Mgogoro wa makazi ukiendelea, vurugu za kifamilia na majumbani (DFSV) ndio sababu kuu ya wanawake na watoto kuondoka nyumbani kwao na kukosa makazi.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Serikali inasema inawekeza dola milioni 308 katika suluhisho za makazi ili kuwasaidia kutoroka, lakini wakosoaji wanasema mengi zaidi yanahitaji kufanywa.

Hali hiyo inajiri wakati Mpango wa Pili wa Utekelezaji wa kukomesha DFSV ukiendelezwa, huku sekta hiyo ikiwa bado iko chini ya shinikizo kubwa.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now