Wakazi katika maeneo ya kanda ya Australia, wataka serikali iongoze idadi yawakimbizi wanako ishi

Wanaharakati wanao tetea haki za wakimbizi katika maeneo ya kanda ya Australia

Wanaharakati wanao tetea haki za wakimbizi katika maeneo ya kanda ya Australia Source: rar

Shirika la watetezi wa wakimbizi la kandani, lime sema kuna ongezeko la watu wanao wakaribisha wakimbizi katika jamii za kandani.


Shirika hilo ni moja kati ya mashirika sita ya wanaharakati, yanayo ihamasisha serikali iongeze idadi ya wakimbizi inayo pokea.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service