a flame burns at the Shell Deer Park oil refinery in Deer Park, Texas. Oil prices are plunging Sunday, March 8, 2020 Source: AP
Bandari ya Tanga itakuwa kitovu muhimu cha nishati katika jumuiya ya Afrika Mashariki, chini ya ushirikiano mpya wa nishati uliozinduliwa kati ya serikali ya Uganda na Tanzania.
Bandari ya Tanga itakuwa kitovu muhimu cha nishati katika jumuiya ya Afrika Mashariki, chini ya ushirikiano mpya wa nishati uliozinduliwa kati ya serikali ya Uganda na Tanzania.
Mpango huo unatarajiwa kuvutia uwekezaji wa zaidi ya dola bilioni 20, huku ukiwa na mpango wakujenga kiwanda chakusafisha mafuta pamoja na miundombinu mingine ya nishati.