Tamasha ya pili ya SANAA mjini Adelaide ilijumuisha kwa mara nyingine ushirikiano kati ya wasanii kutoka Kenya na wenzao wa Australia.
Joan Otieno ni msanii wa graffiti kutoka Kenya, ali eleza SBS Swahili kuhusu uzoefu wake waku shirikiana na wasanii wa Australia, pamoja na mafunzo atakayo peleka Kenya kuboresha kazi yake.
Kwa maelezo ya ziada kuhusu kazi za Joan Otieno pamoja na wasanii wenza walio onesha kazi zao mjini Adelaide, tembelea tovuti ya tamashaya SANAA: www.abetterworldthroughcreativity.com
Share






