Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakenya wapamba mitaa ya Adelaide katika tamasha ya SANAA 2018 #Joan Otieno

Joan Otieno aonesha kazi yake katika tamasha ya SANAA mjini Adelaide

Joan Otieno aonesha kazi yake katika tamasha ya SANAA mjini Adelaide Source: SANAA Festival

Tamasha ya pili ya SANAA mjini Adelaide ilijumuisha kwa mara nyingine ushirikiano kati ya wasanii kutoka Kenya na wenzao wa Australia.


Published

Updated

By Gode Migerano, SBS Swahili

Presented by SBS Swahili, Gode Migerano

Source: SBS, SBS




Share this with family and friends


Tamasha ya pili ya SANAA mjini Adelaide ilijumuisha kwa mara nyingine ushirikiano kati ya wasanii kutoka Kenya na wenzao wa Australia.


Joan Otieno ni msanii wa graffiti kutoka Kenya, ali eleza SBS Swahili kuhusu uzoefu wake waku shirikiana na wasanii wa Australia, pamoja na mafunzo atakayo peleka Kenya kuboresha kazi yake.

Kwa maelezo ya ziada kuhusu kazi za Joan Otieno pamoja na wasanii wenza walio onesha kazi zao mjini Adelaide, tembelea tovuti ya tamashaya SANAA: www.abetterworldthroughcreativity.com


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now