Wakenya wapamba mitaa ya Adelaide katika tamasha ya SANAA 2018 #Joan Otieno

Joan Otieno aonesha kazi yake katika tamasha ya SANAA mjini Adelaide

Joan Otieno aonesha kazi yake katika tamasha ya SANAA mjini Adelaide Source: SANAA Festival

Tamasha ya pili ya SANAA mjini Adelaide ilijumuisha kwa mara nyingine ushirikiano kati ya wasanii kutoka Kenya na wenzao wa Australia.


Joan Otieno ni msanii wa graffiti kutoka Kenya, ali eleza SBS Swahili kuhusu uzoefu wake waku shirikiana na wasanii wa Australia, pamoja na mafunzo atakayo peleka Kenya kuboresha kazi yake.

Kwa maelezo ya ziada kuhusu kazi za Joan Otieno pamoja na wasanii wenza walio onesha kazi zao mjini Adelaide, tembelea tovuti ya tamashaya SANAA: www.abetterworldthroughcreativity.com


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service