Mahakama ya kijeshi mjini Beni ilihanza kusikiliza kesi ya watuhumiwa kadhaa wa wanamgambo kutoka kundi la waasi wa ADF Nalu katika mji wa Beni mkoani kivu, kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo.
Hatua hiyo imejiri baada ya kuwepo na mfululizo wa mauwaji ya kinyama dhidi ya raia wasio na hatia wiki iliopita katika maeneo ya BENI.
Mwandishi wa SBS nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, BYOBE MALENGA alitutumia tarifa hii.
Share





