SKIP TO MAIN CONTENT

Makala Leo: Watetezi wa ulemavu waomba mlinzi nakuonya kuhusu 'athari kubwa' mageuzi yanapokaribia

NDIS COMPOSITE
Health Minister Mark Butler and the NDIS, flagging cuts to the National Disability Insurance Scheme as the government seeks to curb growth to about 5 per cent. (AAP Image/Susie Dodds) NO ARCHIVING Source: AAP / Susie Dodds/AAPIMAGE

Watetezi wa ulemavu wanaihimiza serikali kufikiria upya mabadiliko ya Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu unao julikana kama NDIS, kabla ya kura ya bunge inayokaribia kuhusu mageuzi yaliyopendekezwa.


Published

By Sydney Lang

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Watetezi wa ulemavu wanaihimiza serikali kufikiria upya mabadiliko ya Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu unao julikana kama NDIS, kabla ya kura ya bunge inayokaribia kuhusu mageuzi yaliyopendekezwa.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Kwa lengo la kukomesha ulaghai na matumizi, mageuzi yaliyopendekezwa na Serikali ya Shirikisho yatapunguza matumizi na ushiriki wa NDIS, ambayo watetezi wanaonya yanaweza kuwa na madhara makubwa.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now