Aziz Abdul of Uganda (right) in action against Damar Thomas of England in the Men's 90+kg Quarter Final bout at the SEC Centre during day six of the 2026 Commonwealth Games in Glasgow. Credit: Jane Barlow/PA/AAP Image
Mabondia wanne wa timu ya Uganda, wametoweka baada yakufeli kujitokeza kwa safari zao za ndege zakurejea nyumbani, baada ya kushiriki katika michezo ya jumuiya yamadola mjini Glasgow.
Mabondia wanne wa timu ya Uganda, wametoweka baada yakufeli kujitokeza kwa safari zao za ndege zakurejea nyumbani, baada ya kushiriki katika michezo ya jumuiya yamadola mjini Glasgow.