SBS Swahili ili hudhuria maonesho ya utamaduni wa jumuiya zenye asili ya Afrika mjini Sydney Australia.
Umaarufu wa tamasha hiyo una endelea kuongezeka kila mwaka, na mwaka huu tamasha hiyo ili andaliwa katika ukumbi wa Wyatt Park, Lidcombe NSW. Haya hapa maoni ya walioshiriki. Tembelea ukurasa wetu wa facebook ambako tume chapisha picha za tamasha hiyo. www.facebook.com/SBS Swahili
Share





