Taarifa hiyo imejiri wakati visa vitano vya virusi hivyo vimethibitishwa nchini Australia.
Australia 'imejiandaa ipaswavyo' wakati idadi ya vifo vya coronavirus vinaongezeka

Medical staff work at Wuhan Jinyintan hospital, Wuhan City, Hubei Province, China, 26 January 2020 EPA/STR CHINA OUT Source: EPA
Idadi ya vifo kutoka kwa mlipuko wa kirusi cha coronavirus nchini China imefika 106.
Share