Australia 'imejiandaa ipaswavyo' wakati idadi ya vifo vya coronavirus vinaongezeka

coronavirus

Medical staff work at Wuhan Jinyintan hospital, Wuhan City, Hubei Province, China, 26 January 2020 EPA/STR CHINA OUT Source: EPA

Idadi ya vifo kutoka kwa mlipuko wa kirusi cha coronavirus nchini China imefika 106.


Taarifa hiyo imejiri wakati visa vitano vya virusi hivyo vimethibitishwa nchini Australia.

Mataifa ya Ufaransa, Ureno na Uhispania, yametangaza tayari mipango yakuwaondoa raia wao, wakati Uingereza inaweka juhudi kuwapa raia wao, uamuzi wakuondoka katika maeneo ya karibu ya jimbo la Hubei.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now