Yaliyo jiri Afrika: Tahadhari yatolewa kwa mlipuko wa virusi vinavyo sababisha UVIKO-19 Tanzania

The Map of Africa

Credit: Wikipedia

Wizara ya afya Tanzania imesema kuwa maambukizi ya wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na Uviko-19 yameongezeka na kuwataka wananchi kuchukua hatua stahiki za kujikinga na maambukizi hayo.


Taarifa hiyo iliyotolewa na mganga mkuu wa serikali Dk. Grace Magembe imetokana na kufuatilia mwenendo wa magonjwa ya mlipuko.

Wizara hiyo imeongezea kuwa mafua makali ya Influenza na Uviko-19 huenezwa kwa kugusa mazingira yaliyochafuliwa na majimaji yanayotoka kwa mgonjwa na kuongeza kuwa dalili zake ni homa kali, kikohozi, mafua, maumivu ya kichwa na mwili.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now