Kituo cha sheria cha haki za binadamu Tanzania, kime eleza wasiwasi kuhusu madai ya watu kuuawa, kujeruhiwa au kupotea katika maeneo ya hifadhi nchini humo.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Kauli hiyo inafuatia kifo cha kijana mmoja, nakujeruhiwa kwa wengine wawili baada ya kukamatwa na Askari wa wanyama pori katika eneo la hifadhi la Ngorongoro mkoani Arusha.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





