Mageuzi ya Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu yamejadiliwa katika Seneti, huku sheria ikitarajiwa kupitishwa wiki hii kwa msaada wa Upinzani wa Mseto.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Muswada huo kwa kiasi kikubwa unasisitiza kupunguzwa kwa bajeti ya Mei, ambayo inatabiri akiba ya dola bilioni 37.8 kwa miaka minne, wakati kukiwa na wasiwasi kuhusu ukuaji wa matumizi.
Wakosoaji mbalimbali wamehoji kama njia mbadala za serikali zitakuwa tayari kwa wakati, na wakasema kupunguzwa huko kutakuwa na madhara.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





