Shirika la S-E-S New South Wales lilipokea simu zaidi ya 450 za kuomba msaada, wakati mitaa ikiwa imefurika katika sehemu za magharibi mwa Sydney, ambazo zilipokea zaidi ya milimita 100 ya mvua katika saa chache.
Wizara ya afya Tanzania imesema kuwa maambukizi ya wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na Uviko-19 yameongezeka na kuwataka wananchi kuchukua hatua stahiki za kujikinga na maambukizi hayo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





