Bei za petroli na dizeli nchini Australia zinaendelea kukabiliwa na shinikizo wakati huu ambapo vita kati ya Marekani na Iran vina ingia mwezi wa tatu.Bei za petroli na dizeli nchini Australia zinaendelea kukabiliwa na shinikizo wakati huu ambapo vita kati ya Marekani na Iran vina ingia mwezi wa tatu.
Kwa familia nyingi nchini Australia, shinikizo hilo lime ongezeka mara mbili kufuatia uamuzi wa Benki ya Akiba ya Australia (RBA) kuongeza kiwango cha riba mwezi huu.
Watu wanalipa gharama kubwa zaidi kwenye pampu za mafuta wakati wakikabiliana na kuongezeka kwa gharama za vyakula, kodi ya nyumba, mikopo ya nyumba na mahitaji mengine muhimu.
Katika makala haya ya Australia Yafafanuliwa: Mafuta yalengwa, tunaangazia huduma huru na za bure zinazopatikana ili kuwasaidia watu kukabiliana na msongo wa kifedha.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






