(L-R) Eltham MP Vicki Ward, Incoming Victorian Premier Jacinta Allan and Incoming Deputy Victorian Premier Ben Carroll speak to media at Victorian Parliament in Melbourne, Wednesday, Wednesday, September 27, 2023. (AAP Image/Joel Carrett) NO ARCHIVING Source: AAP / JOEL CARRETT/AAPIMAGE
Kiongozi wa Jimbo la Victoria, Jacinta Allan, anasema atapambana na changamoto ya uongozi inayokuja baada ya viongozi wa mirengo tafuati ndani ya chama cha Labor, kukutana na kukubaliana kwamba amepoteza uungwaji mkono wa wengi katika mkutano wao.
Kiongozi wa Jimbo la Victoria, Jacinta Allan, anasema atapambana na changamoto ya uongozi inayokuja baada ya viongozi wa mirengo tafuati ndani ya chama cha Labor, kukutana na kukubaliana kwamba amepoteza uungwaji mkono wa wengi katika mkutano wao.
Naibu wake Ben Carroll ametangaza kwamba atagombea nafasi ya juu, akianzisha shindano ambalo linaweza kuchukua wiki kadhaa kutatuliwa, huku uchaguzi ukitarajiwa miezi minne ijayo.