Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Viongozi wa Australia nawa kimataifa wakemea shambulizi mjini London

magari ya dharura katika eneo la shambulizi mjini London
magari ya dharura katika eneo la shambulizi mjini London Source: Picha: AAP

Viongozi wa Australia na wenzao wakimataifa wamekemea vikali shambulizi karibu na kasri ya Westminster mjini London, ambako watu watano wame fariki nawengine 40 wame jeruhiwa.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Viongozi wa Australia na wenzao wakimataifa wamekemea vikali shambulizi karibu na kasri ya Westminster mjini London, ambako watu watano wame fariki nawengine 40 wame jeruhiwa.


Miongoni mwa wafu ni afisa wa jeshi la polisi, pamoja na anaye shukiwa kufanya shambulizi hilo.

Alipo zungumzia shambulizi hilo, Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May alisema kwamba mwanaume huyo alilenga moyo wa Uingereza

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now