Betty afunguka kuhusu jinsi yaku badilisha viza yako ukiwa Australia

Betty Langat, Mkurugenzi wa shirika la Grace International mjini Dandenong, Victoria.jpg

Wanafunzi wengi wakimataifa wame wasili nchini Australia, kupitia msaada wa mawakala wa uhamiaji.


Betty Langat ni mmoja wa mawakala ambao wamefanikisha ndoto za wanafunzi wengi wakimataifa kutoka Kenya ambao wanasomea nchini Australia kwa sasa.

Katika mazungumzo maalum, Bi Betty alifunguka kuhusu kazi ya mawakala kama yeye, pamoja na shirika la Grace International ambalo amejiunga nalo hivi karibuni baada yakufunga kampuni yake ya mawakala.

Tunge penda kukujulisha kuwa, taarifa iliyo tolewa katika mahojiano haya ni ya asili ya jumla. Huenda taarifa hii haita kuwa sahihi kwa mazingira yako binafsi, wasiliana na wakala wako wa uhamiaji kwa ushauri kuhusu hali yako.”

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Betty afunguka kuhusu jinsi yaku badilisha viza yako ukiwa Australia | SBS Swahili