Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Betty afunguka kuhusu jinsi yaku badilisha viza yako ukiwa Australia

Betty Langat, Mkurugenzi wa shirika la Grace International mjini Dandenong, Victoria.jpg

Wanafunzi wengi wakimataifa wame wasili nchini Australia, kupitia msaada wa mawakala wa uhamiaji.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Betty Langat ni mmoja wa mawakala ambao wamefanikisha ndoto za wanafunzi wengi wakimataifa kutoka Kenya ambao wanasomea nchini Australia kwa sasa.

Katika mazungumzo maalum, Bi Betty alifunguka kuhusu kazi ya mawakala kama yeye, pamoja na shirika la Grace International ambalo amejiunga nalo hivi karibuni baada yakufunga kampuni yake ya mawakala.

Tunge penda kukujulisha kuwa, taarifa iliyo tolewa katika mahojiano haya ni ya asili ya jumla. Huenda taarifa hii haita kuwa sahihi kwa mazingira yako binafsi, wasiliana na wakala wako wa uhamiaji kwa ushauri kuhusu hali yako.”


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now