Serikali ya hamasishwa iongeze idadi ya wakimbizi inayo pokea, wakati mjadala waku punguza idadi hiyo unaendelea kutanda

Wakimbizi wakimbia mapigano kati ya vikosi vya M23 na serikali ya DR Congo karibu na mji wa Goma

Wakimbizi wakimbia mapigano kati ya vikosi vya M23 na serikali ya DR Congo karibu na mji wa Goma Source: AAP

Serikali ya Turnbull ime hamasishwa iunde fursa zingine za kuwapa uhamisho wakimbizi wa ziada nchini Australia, kupitia mradi wa udhamini wa jamii.


Licha ya ripoti za mjadala ndani serikali ya mseto kuhusu mbinu zakupunguza idadiya wahamiaji ambao Australia inapokea, wanaharakati wa haki za wakimbizi wame ihamasisha serikali iunde nafasi za ziada elfu tano katika mradi wakibinadam kila mwaka, nakuiongeza hadi nafasi elfu kumi katika miaka mitano ijayo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service