Serikali ya hamasishwa iongeze idadi ya wakimbizi inayo pokea, wakati mjadala waku punguza idadi hiyo unaendelea kutanda

Wakimbizi wakimbia mapigano kati ya vikosi vya M23 na serikali ya DR Congo karibu na mji wa Goma Source: AAP
Serikali ya Turnbull ime hamasishwa iunde fursa zingine za kuwapa uhamisho wakimbizi wa ziada nchini Australia, kupitia mradi wa udhamini wa jamii.
Share