Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya hamasishwa iongeze idadi ya wakimbizi inayo pokea, wakati mjadala waku punguza idadi hiyo unaendelea kutanda

Wakimbizi wakimbia mapigano kati ya vikosi vya M23 na serikali ya DR Congo karibu na mji wa Goma

Wakimbizi wakimbia mapigano kati ya vikosi vya M23 na serikali ya DR Congo karibu na mji wa Goma Source: AAP

Serikali ya Turnbull ime hamasishwa iunde fursa zingine za kuwapa uhamisho wakimbizi wa ziada nchini Australia, kupitia mradi wa udhamini wa jamii.


Licha ya ripoti za mjadala ndani serikali ya mseto kuhusu mbinu zakupunguza idadiya wahamiaji ambao Australia inapokea, wanaharakati wa haki za wakimbizi wame ihamasisha serikali iunde nafasi za ziada elfu tano katika mradi wakibinadam kila mwaka, nakuiongeza hadi nafasi elfu kumi katika miaka mitano ijayo.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now