Wiki ya pili ya kampeni za uchaguzi mkuu ime kamilika baada yaku dai jeruhi waki siasa, baada ya mgombea wa Fremantle, Magharibi Australia wa chama cha Liberal aliye zua utata kwa madai yake kujiuzulu.
Hata hivyo uvamizi wa polisi wa shirikisho kwa ofisi ya seneta wa chama cha Labor, ulio fufua uhasama kati ya waziri mkuu na kiongozi wa chama cha upinzani.
Share





