Mvutano wa muda mrefu kuhusu uwekezaji wa shule zaki katoliki na shule huru ulimalizika wiki hii, baada ya serikali ya Morrison kutanga uwekezaji wama bilioni ya dola katika sekta hiyo.
Naye waziri wa maswala ya ndani aliponea chupu chupu katika kura yakutokuwa na imani katika uongozi wake.
Licha ya hayo yote, sekta ya matunda ya straberry nchini, ina endelea kuwa katika hali mbaya.





