Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Canberra: Tathmini ya wiki hii 29 Juni 2018

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull, aondoka bungeni baada ya muda wa maswali na majibu

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull, aondoka bungeni baada ya muda wa maswali na majibu Source: AAP

Serikali ya taifa ime maliza kikao cha mwisho cha bunge, kabla ya mapumziko ya majira ya baridi, licha yakuto wasilisha muswada muhimu wa kodi.


Wakati huo huo kiongozi wa upinzani, naye amejipata chini ya shinikizo wakati vyama vikubwa vina anza kampeni kubwa ya chaguzi ndogo za mwezi ujao.

 

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now