Canberra: Tathmini ya wiki hii 29 Juni 201806:13Waziri Mkuu Malcolm Turnbull, aondoka bungeni baada ya muda wa maswali na majibu Source: AAPSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (11.39MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Serikali ya taifa ime maliza kikao cha mwisho cha bunge, kabla ya mapumziko ya majira ya baridi, licha yakuto wasilisha muswada muhimu wa kodi.Wakati huo huo kiongozi wa upinzani, naye amejipata chini ya shinikizo wakati vyama vikubwa vina anza kampeni kubwa ya chaguzi ndogo za mwezi ujao. ShareLatest podcast episodesMahojiano: Micheline"Tunataka wanawake wote wasimame imara"Mahojiano: Jay "vita dhidi ya Iran vinaweza kuwa na madhara makubwa sana kwa Australia"Taarifa ya Habari: Serikali ya shirikisho yaongeza hatua za usambazaji wa mafuta AustraliaMakala leo: Sheria mpya za Australia kupiga marufuku kwa muda baadhi ya watu kuingia nchini za kosolewa