Serikali ya shirikisho nayo ilipigwa jeki kidogo katika matokeo ya kura ya maoni, pamoja na hatua nyingine yaku ingilia kati ya umma toka kwa waziri mkuu wa zamani Tony Abbott.

Vita vya maneno vya zuka kati ya seneta Sarah Hanson-Young na David Leyonhjelm bungeni Source: AAP