Wiki hii kikao maalum kili itishwa ndani ya bunge la taifa, ajabu ni kwamba vikao hivyo vilikuwa vya siku mbili tu.
Gavana Mkuu Sir Peter Cosgrove ali rejesha wabunge namaseneta wote kutoka likizo kwa ajili ya kikao maalum cha bunge kabla ya bajeti ya shirikisho kusomwa.
Share





