Wiki katika siasa yaki taifa, maswala mengi yali tokea, baadhi ya maswala hayo ni mjadla kuhusu kodi, afya na mabadiliko ya ustawi. Ila swala kubwa zaidi ilikuwa matangazo kutoka kwa baadhi ya mawaziri wakongwe kuwa hawata wania viti vyao katika uchaguzi ujao.
Share





