Kwa upande mmoja serikali ya mseto imesema vigezo vyake vikali vime punguza idadi ya wahamaiji wakudumu, wakati huo huo chama cha Labor kime walaumu wafanyakazi wa viza za mpito kwaku ongeza viwango vya uhaba wa ajira.

Five by-elections will take place on Saturday 28 July. Source: SBS News
Kwa upande mmoja serikali ya mseto imesema vigezo vyake vikali vime punguza idadi ya wahamaiji wakudumu, wakati huo huo chama cha Labor kime walaumu wafanyakazi wa viza za mpito kwaku ongeza viwango vya uhaba wa ajira.