Cherehani zilizo tolewa kwa hisani, zasaidia wasichana wa Kenya katika elimu

Seketo Lenawala ana fahari kuongeza pato lake, kupitia kushona

Seketo Lenawala ana fahari kuongeza pato lake, kupitia kushona Source: World Vision Kenya

Msaada kutoka Australia unawasaidia wanawake wasio jiweza nchini Kenya kukababiliana na janga hili na, msaada huo umechangia pia katika upatikanaji wa matokeo mengine yakushangaza.


Makala ya siri za baishara ndogo yaligundua kuwa, kundi la wanawake linalo tumia cherehani zilizo tolewa kwa hisani, zinawahamasisha wasichana kuendelea nakumaliza masomo yao.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Cherehani zilizo tolewa kwa hisani, zasaidia wasichana wa Kenya katika elimu | SBS Swahili