Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Cherehani zilizo tolewa kwa hisani, zasaidia wasichana wa Kenya katika elimu

Seketo Lenawala ana fahari kuongeza pato lake, kupitia kushona

Seketo Lenawala ana fahari kuongeza pato lake, kupitia kushona Source: World Vision Kenya

Msaada kutoka Australia unawasaidia wanawake wasio jiweza nchini Kenya kukababiliana na janga hili na, msaada huo umechangia pia katika upatikanaji wa matokeo mengine yakushangaza.


Makala ya siri za baishara ndogo yaligundua kuwa, kundi la wanawake linalo tumia cherehani zilizo tolewa kwa hisani, zinawahamasisha wasichana kuendelea nakumaliza masomo yao.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now