Msaada kutoka Australia unawasaidia wanawake wasio jiweza nchini Kenya kukababiliana na janga hili na, msaada huo umechangia pia katika upatikanaji wa matokeo mengine yakushangaza.
Makala ya siri za baishara ndogo yaligundua kuwa, kundi la wanawake linalo tumia cherehani zilizo tolewa kwa hisani, zinawahamasisha wasichana kuendelea nakumaliza masomo yao.
Share






