Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Chiry"wasichana wenzangu njooni tuboreshe afya zetu kupitia mpira"

Bi Chiry na Mel wakiwa na kombe  lao baada ya fainali ya mchuano wa Vurugu kwa upande wa wanawake..jpg

Jamii ya wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walishuhudia historia ikiandikwa jioni ya Jumapili 28 Juni 2026 timu mpya ya mpira wa miguu ya kina dada ilipo cheza mechi yao ya kwanza katika uwanja wa Rydalmere.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jamii ya wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walishuhudia historia ikiandikwa jioni ya Jumapili 28 Juni 2026 timu mpya ya mpira wa miguu ya kina dada ilipo cheza mechi yao ya kwanza katika uwanja wa Rydalmere.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Timu ya Kenya Starlets ili cheza dhidi ya timu ya kina dada ya Mashujaa kati mechi yakusisimua mno. Licha ya mwanzo chanya wa Kenya Starlets, timu ya Mashujaa ili shinda mechi hiyo kwa magoli tano bila jibu.

Muda mfupi baada ya mechi hiyo, SBS Swahili ilizungumza na nahodha wa Mashujaa Bi Chiry pamoja na nyota mshambuliaji wake Bi Mel.

Bofya hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now