Makamishna wawili wata ongoza uchunguzi wa gereza la vijana la wilaya ya kaskazini, baada ya hakimu mkuu wa wilaya ya Kaskazini Brian Ross Martin aliye kuwa ame teuliwa kuongoza uchunguzi huo kujiuzulu.
Mwanasheria mkuu wa Australia George Brandis ametangaza kuwa kamishna wa haki za jamii kutoka jumuiya yawa Aboriginal na Torres Strait Islanders Mick Gooda, ata shirikiana na jaji wa zamani wa mahakama kuu ya Queensland Margaret White.
Share





