Dj Deklack afunguka kuhusu kazi yake na Sudi Boy

Dj Deklack

Dj Deklack Source: Dj Deklack

Dj Deklack ni maarufu sana katika vilabu vingi nchini Australia.


Ila hivi karibuni aliwashangaza wapenzi wa kazi zake, kwakutoa wimbo na msanii maarufu nchini Kenya Sudi Boy, kwa jina la Mambo Madogo.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Dj Deklack aliweka wazi alivyo anza kazi yau Dj pamoja nakuachia nyimbo na waimbaji maarufu.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now