Dj Deklack afunguka kuhusu kazi yake na Sudi Boy

Dj Deklack

Dj Deklack Source: Dj Deklack

Dj Deklack ni maarufu sana katika vilabu vingi nchini Australia.


Ila hivi karibuni aliwashangaza wapenzi wa kazi zake, kwakutoa wimbo na msanii maarufu nchini Kenya Sudi Boy, kwa jina la Mambo Madogo.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Dj Deklack aliweka wazi alivyo anza kazi yau Dj pamoja nakuachia nyimbo na waimbaji maarufu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service