Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya DR Congo kuwekewa vikwazo

Waandamanaji waipa serikali ya DR Congo kadi ya njano.
Waandamanaji waipa serikali ya DR Congo kadi ya njano. Source: Mustafa Mulopwe, AFP, Getty Images

Uvumi ulikuwa ume sambaa kwa miezi kadhaa na hofu ilikuwa imeongezeka kuwa, uchaguzi wa urais ambao ulikuwa ume pangwa nchini DR Congo, hauta fanywa kama ilivyo kuwa ime ratibiwa mwezi Novemba 2016.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Uvumi ulikuwa ume sambaa kwa miezi kadhaa na hofu ilikuwa imeongezeka kuwa, uchaguzi wa urais ambao ulikuwa ume pangwa nchini DR Congo, hauta fanywa kama ilivyo kuwa ime ratibiwa mwezi Novemba 2016.


Uvumi huo ulithibitishwa baada ya mkutano ulio jumuisha viongozi wakiraia, dini, siasa na Rais Joseph Kabila.

Mkutano huo ulikamilika kwa maafikiano yaku ipa tume ya uchaguzi ya taifa hilo, hadi mwezi Aprili 2018 kuandaa uchaguzi wa urais.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya viongozi wa vikundi wa vijana walio changia maoni yao kuhusu uamuzi waku ahirisha uchaguzi wa urais nchini DR Congo

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now