Dr Nadine "Afrika Diaspora Co-operative itatupa fursa za uwekezaji"

Nembo ya Afrika Diaspora Cooperative.jpg

Credit: ADMIN

Wanachama wa jamii zenye asili ya Afrika wanao ishi jimboni New South Wales, wame ungana kuunda shirika linalo toa fursa za uwekezaji wa muda mrefu.


Dr Nadine ni mmoja wa wanabodi 7 wanao ongoza shirika la Afrika Diaspora Co-operative (ADC).

Alipo zungumza na SBS Swahili, Dr Nadine alifunguka kuhusu sababu yaku anzisha shirika la ADC, umuhimu wa kuwa mwanachama pamoja na maandalizi ya uzinduzi wa ADC utakao fanywa Jumamosi 26 Julai kuanzia saa nane mchana, katika ukumbi wa Granville Centre, 1 Memorial Drive, Granville, New South Wales.

Kwa maelezo ya ziada kuhusu ADC, tembelea mitandao yao ya kijamii na tovuti yao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service