Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Dr Nadine "Afrika Diaspora Co-operative itatupa fursa za uwekezaji"

Nembo ya Afrika Diaspora Cooperative.jpg

Wanachama wa jamii zenye asili ya Afrika wanao ishi jimboni New South Wales, wame ungana kuunda shirika linalo toa fursa za uwekezaji wa muda mrefu.


Published

Updated

By Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanachama wa jamii zenye asili ya Afrika wanao ishi jimboni New South Wales, wame ungana kuunda shirika linalo toa fursa za uwekezaji wa muda mrefu.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Dr Nadine ni mmoja wa wanabodi 7 wanao ongoza shirika la Afrika Diaspora Co-operative (ADC).

Alipo zungumza na SBS Swahili, Dr Nadine alifunguka kuhusu sababu yaku anzisha shirika la ADC, umuhimu wa kuwa mwanachama pamoja na maandalizi ya uzinduzi wa ADC utakao fanywa Jumamosi 26 Julai kuanzia saa nane mchana, katika ukumbi wa Granville Centre, 1 Memorial Drive, Granville, New South Wales.

Kwa maelezo ya ziada kuhusu ADC, tembelea mitandao yao ya kijamii na tovuti yao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now